3Naye Yehoramu+ mwana wa Ahabu akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria mwaka wa kumi na nane wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akaendelea kutawala miaka kumi na miwili.
22 Na ikawa kwamba mara tu Yehoramu alipomwona Yehu, mara moja akasema: “Je, kuna amani, Yehu?” Lakini yeye akasema: “Kunaweza kuwa na amani+ gani wakati kungali na uasherati wa Yezebeli+ mama yako na ulozi wake mwingi?”+