2 Wafalme 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na katika mwaka wa tano wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda akawa mfalme.
16 Na katika mwaka wa tano wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda akawa mfalme.