50 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi+ babu yake; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
3 Basi baba yao akawapa zawadi+ nyingi za fedha na dhahabu na vitu bora pamoja na majiji yenye ngome katika Yuda;+ lakini ufalme akampa Yehoramu,+ kwa maana yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.+