2 Mambo ya Nyakati 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu, na vitu vyenye thamani, pamoja na majiji yenye ngome kule Yuda;+ lakini alimpa Yehoramu ufalme,+ kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.
3 Na baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu, na vitu vyenye thamani, pamoja na majiji yenye ngome kule Yuda;+ lakini alimpa Yehoramu ufalme,+ kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza.