2 Mambo ya Nyakati 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, akatenda kwa uelewaji+ na kuwagawanya baadhi ya wanawe wote kwenye nchi zote za Yuda na Benyamini,+ kwenye majiji yote yenye ngome,+ akawapa chakula kwa wingi+ na kuwachukulia wake wengi.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
23 Hata hivyo, akatenda kwa uelewaji+ na kuwagawanya baadhi ya wanawe wote kwenye nchi zote za Yuda na Benyamini,+ kwenye majiji yote yenye ngome,+ akawapa chakula kwa wingi+ na kuwachukulia wake wengi.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+