Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme wake mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 1 Wafalme 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana, kwa ajili ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa+ katika Yerusalemu kwa kumsimamisha mwana wake baada yake na kuendelea kulisimamisha Yerusalemu,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova hakutaka kuiharibu nyumba ya Daudi,+ kwa sababu ya lile agano+ alilokuwa amefanya pamoja na Daudi, na kama alivyokuwa amesema kwamba atampa+ yeye na wanawe taa sikuzote.+

  • Zaburi 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+

      Amezuia fikira za vikundi vya watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki