37 Kama vile Yehova alivyokuwa pamoja na bwana wangu mfalme,+ basi na awe na Sulemani+ vivyo hivyo, na akifanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu+ kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mfalme Daudi.”
7 Nami kwa hakika nitaufanya imara ufalme wake+ mpaka wakati usio na kipimo ikiwa ataazimia kwa nguvu kushika amri+ zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama ilivyo leo hii.’