Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kama vile Yehova alivyokuwa pamoja na bwana wangu mfalme,+ basi na awe na Sulemani+ vivyo hivyo, na akifanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu+ kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mfalme Daudi.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami kwa hakika nitaufanya imara ufalme wake+ mpaka wakati usio na kipimo ikiwa ataazimia kwa nguvu kushika amri+ zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama ilivyo leo hii.’

  • Zaburi 89:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 ‘Nitaufanya imara uzao wako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme+ kwa kizazi baada ya kizazi.’” Sela.

  • Zaburi 89:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+

  • Luka 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki