Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Zaburi 140:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova, usimpe mwovu tamaa zake.+Usiunge mkono hila yake, ili wasipate kuinuliwa.+ Sela.