2 Samweli 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+ Zaburi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+
31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+
12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+