Zaburi 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+ Zaburi 35:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na wasiseme moyoni mwao: “Aha, nafsi yetu!”+Na wasiseme: “Tumemmeza.”+ Zaburi 41:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+ Zaburi 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa jambo hili ninajua kwamba umependezwa nami,Kwa sababu adui yangu hapigi kelele za ushindi juu yangu.+
2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+
11 Kwa jambo hili ninajua kwamba umependezwa nami,Kwa sababu adui yangu hapigi kelele za ushindi juu yangu.+