Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+

      Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+

  • Zaburi 35:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na wasiseme moyoni mwao: “Aha, nafsi yetu!”+

      Na wasiseme: “Tumemmeza.”+

  • Zaburi 41:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+

      Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+

      Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+

  • Zaburi 41:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa jambo hili ninajua kwamba umependezwa nami,

      Kwa sababu adui yangu hapigi kelele za ushindi juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki