Zaburi 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+ Zaburi 41:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+ Zaburi 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+
12 Usinitie mikononi mwa nafsi ya wapinzani wangu;+Kwa maana dhidi yangu wamesimama mashahidi wa uwongo,+Na yeye anayetokeza jeuri.+
2 Yehova mwenyewe atamlinda na kumhifadhi hai.+Atatangazwa kuwa mwenye furaha duniani;+Nawe huwezi kamwe kumtia mkononi mwa nafsi ya adui zake.+
56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+