Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+ Isaya 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na roho ya Misri lazima itatanishwe katikati yake,+ nami nitavuruga shauri lake.+ Nao hakika wataenda kwa miungu isiyo na thamani+ na kwa wachawi na kwa wenye kuwasiliana na pepo na kwa wajuzi wa kubashiri matukio.+
10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+
3 Na roho ya Misri lazima itatanishwe katikati yake,+ nami nitavuruga shauri lake.+ Nao hakika wataenda kwa miungu isiyo na thamani+ na kwa wachawi na kwa wenye kuwasiliana na pepo na kwa wajuzi wa kubashiri matukio.+