Zaburi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawavunja kwa fimbo ya chuma ya enzi,+Utawavunja vipande-vipande, kama chombo cha mfinyanzi.”+ Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+ Methali 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+