Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?

  • 1 Wakorintho 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na tena: “Yehova anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni kwa ubatili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki