Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+

  • 2 Samweli 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yonathani,+ mwana wa Sauli, alikuwa na mwana mwenye kulemaa miguu.+ Alikuwa na umri wa miaka mitano wakati habari juu ya Sauli na Yonathani ilipofika kutoka Yezreeli;+ na mlezi wake akamchukua, akakimbia, lakini ikawa kwamba huyo mwanamke alipokuwa akikimbia akiwa na wasiwasi ili aponyoke, ndipo mtoto huyo akaanguka na kulemaa. Na jina lake lilikuwa Mefiboshethi.+

  • 2 Wafalme 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+

      Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki