1 Samweli 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Wafilisti+ wakakusanya kambi zao zote kule Afeki, huku Waisraeli wakipiga kambi kando ya bubujiko lililo katika Yezreeli.+ 1 Samweli 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Daudi akaondoka mapema, yeye na watu wake, ili waende asubuhi+ na kurudi katika nchi ya Wafilisti; nao Wafilisti wakapanda, wakaenda Yezreeli.+
29 Na Wafilisti+ wakakusanya kambi zao zote kule Afeki, huku Waisraeli wakipiga kambi kando ya bubujiko lililo katika Yezreeli.+
11 Basi Daudi akaondoka mapema, yeye na watu wake, ili waende asubuhi+ na kurudi katika nchi ya Wafilisti; nao Wafilisti wakapanda, wakaenda Yezreeli.+