1 Samweli 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+
28 Na ikawa katika siku hizo kwamba Wafilisti wakaanza kukusanya kambi zao kwa ajili ya jeshi ili kufanya vita juu ya Israeli.+ Basi Akishi akamwambia Daudi: “Bila shaka unajua kwamba unapaswa kwenda pamoja nami kambini, wewe na watu wako.”+