2 Samweli 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+ 1 Mambo ya Nyakati 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na mwana wa Yonathani alikuwa Merib-baali.+ Merib-baali naye akamzaa Mika.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na mwana wa Yonathani alikuwa Merib-baali.+ Merib-baali naye akamzaa Mika.+
13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+