Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 8:1

Marejeo

  • +Mwa 35:18; 43:14; 49:27
  • +1Nya 7:6
  • +Mwa 46:21
  • +Hes 26:38

1 Mambo ya Nyakati 8:2

Marejeo

  • +Hes 26:39

1 Mambo ya Nyakati 8:3

Marejeo

  • +Mwa 46:21

1 Mambo ya Nyakati 8:5

Marejeo

  • +1Nya 7:12
  • +Hes 26:39

1 Mambo ya Nyakati 8:6

Marejeo

  • +Yos 21:17; 1Sa 13:16; 1Nya 6:60

1 Mambo ya Nyakati 8:8

Marejeo

  • +Ru 1:1

1 Mambo ya Nyakati 8:12

Marejeo

  • +Ezr 2:33; Ne 6:2
  • +Ne 11:35; Mdo 9:32

1 Mambo ya Nyakati 8:13

Marejeo

  • +Yos 19:42; 21:24

1 Mambo ya Nyakati 8:16

Marejeo

  • +1Nya 8:13

1 Mambo ya Nyakati 8:21

Marejeo

  • +1Nya 8:13

1 Mambo ya Nyakati 8:28

Marejeo

  • +Yos 18:28; 1Fa 2:36; Ne 11:4

1 Mambo ya Nyakati 8:29

Marejeo

  • +Yos 9:17; 21:17; 1Nya 21:29
  • +1Nya 9:35

1 Mambo ya Nyakati 8:30

Marejeo

  • +1Nya 9:36

1 Mambo ya Nyakati 8:31

Marejeo

  • +1Nya 9:37

1 Mambo ya Nyakati 8:32

Marejeo

  • +1Nya 9:38

1 Mambo ya Nyakati 8:33

Marejeo

  • +1Sa 14:50
  • +1Sa 9:1; Mdo 13:21
  • +1Sa 9:2; 10:11; 11:15; 14:47; 15:23
  • +1Sa 14:45; 18:1; 2Sa 1:23
  • +1Sa 14:49
  • +1Sa 31:2; 1Nya 9:39
  • +2Sa 2:8; 4:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 32

1 Mambo ya Nyakati 8:34

Marejeo

  • +2Sa 4:4; 9:6; 19:24
  • +2Sa 9:12

1 Mambo ya Nyakati 8:35

Marejeo

  • +1Nya 9:41

1 Mambo ya Nyakati 8:37

Marejeo

  • +1Nya 9:43

1 Mambo ya Nyakati 8:40

Marejeo

  • +1Sa 16:18; 2Sa 23:20
  • +1Nya 12:2
  • +Zb 127:3; 128:3, 6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 8:1Mwa 35:18; 43:14; 49:27
1 Nya. 8:11Nya 7:6
1 Nya. 8:1Mwa 46:21
1 Nya. 8:1Hes 26:38
1 Nya. 8:2Hes 26:39
1 Nya. 8:3Mwa 46:21
1 Nya. 8:51Nya 7:12
1 Nya. 8:5Hes 26:39
1 Nya. 8:6Yos 21:17; 1Sa 13:16; 1Nya 6:60
1 Nya. 8:8Ru 1:1
1 Nya. 8:12Ezr 2:33; Ne 6:2
1 Nya. 8:12Ne 11:35; Mdo 9:32
1 Nya. 8:13Yos 19:42; 21:24
1 Nya. 8:161Nya 8:13
1 Nya. 8:211Nya 8:13
1 Nya. 8:28Yos 18:28; 1Fa 2:36; Ne 11:4
1 Nya. 8:29Yos 9:17; 21:17; 1Nya 21:29
1 Nya. 8:291Nya 9:35
1 Nya. 8:301Nya 9:36
1 Nya. 8:311Nya 9:37
1 Nya. 8:321Nya 9:38
1 Nya. 8:331Sa 14:50
1 Nya. 8:331Sa 9:1; Mdo 13:21
1 Nya. 8:331Sa 9:2; 10:11; 11:15; 14:47; 15:23
1 Nya. 8:331Sa 14:45; 18:1; 2Sa 1:23
1 Nya. 8:331Sa 14:49
1 Nya. 8:331Sa 31:2; 1Nya 9:39
1 Nya. 8:332Sa 2:8; 4:12
1 Nya. 8:342Sa 4:4; 9:6; 19:24
1 Nya. 8:342Sa 9:12
1 Nya. 8:351Nya 9:41
1 Nya. 8:371Nya 9:43
1 Nya. 8:401Sa 16:18; 2Sa 23:20
1 Nya. 8:401Nya 12:2
1 Nya. 8:40Zb 127:3; 128:3, 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 8:1-40

1 Mambo ya Nyakati

8 Benyamini+ naye akamzaa Bela+ mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli+ wa pili, Ahara+ wa tatu, 2 Noha+ wa nne na Rafa wa tano. 3 Na Bela akawa na wana, Adari na Gera+ na Abihudi, 4 na Abishua na Naamani na Ahoa, 5 na Gera na Shefufani+ na Huramu.+ 6 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Ehudi. Hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba za mababu vya wakaaji wa Geba,+ nao wakawapeleka uhamishoni katika Manahathi. 7 Na Naamani na Ahiya; na Gera​—​yeye ndiye aliyewapeleka uhamishoni, naye akamzaa Uza na Ahihudi. 8 Shaharaimu naye akazaa wana katika uwanda+ wa Moabu baada ya kuwafukuza. Wake zake walikuwa Hushimu na Baara. 9 Naye kupitia Hodeshi mke wake, akazaa Yobabu na Sibia na Mesha na Malkamu, 10 na Yeuzi na Sakia na Mirma. Hao walikuwa wanawe, vichwa vya nyumba za mababu.

11 Naye kupitia Hushimu akazaa Abitubu na Elpaali. 12 Na wana wa Elpaali walikuwa Eberi na Mishamu na Shemedi, aliyejenga Ono+ na Lodi+ na miji yake ya kandokando, 13 na Beria na Shema. Hao walikuwa vichwa vya nyumba za mababu, za wakaaji wa Aiyaloni.+ Hao ndio waliofukuza wakaaji wa Gathi. 14 Na kulikuwa na Ahio, Shashaki na Yeremothi, 15 na Zebadia na Aradi na Ederi, 16 na Mikaeli na Ishpa na Yoha, wana wa Beria,+ 17 na Zebadia na Meshulamu na Hizki na Heberi, 18 na Ishmerai na Izlia na Yobabu, wana wa Elpaali, 19 na Yakimu na Zikri na Zabdi, 20 na Elienai na Zilethai na Elieli, 21 na Adaya na Beraya na Shimrathi, wana wa Shimei,+ 22 na Ishpani na Eberi na Elieli, 23 na Abdoni na Zikri na Hanani, 24 na Hanania na Elamu na Anthothiya, 25 na Ifdeya na Penueli, wana wa Shashaki, 26 na Shamsherai na Sheharia na Athalia, 27 na Yaareshia na Eliya na Zikri, wana wa Yerohamu. 28 Hao walikuwa vichwa vya nyumba za mababu kwa wazao wao, wanaume walio vichwa. Hao ndio waliokaa katika Yerusalemu.+

29 Na baba ya Gibeoni,+ Yeieli, alikaa katika Gibeoni, na jina la mke wake lilikuwa Maaka.+ 30 Na mwana wake, mzaliwa wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri na Kishi na Baali na Nadabu,+ 31 na Gedori na Ahio na Zekeri.+ 32 Miklothi naye akamzaa Shimea.+ Na hao kwa kweli ndio waliokaa mbele ya ndugu zao katika Yerusalemu pamoja na ndugu zao.

33 Neri+ naye akamzaa Kishi;+ naye Kishi akamzaa Sauli;+ naye Sauli akamzaa Yonathani+ na Malki-shua+ na Abinadabu+ na Eshbaali.+ 34 Na mwana wa Yonathani alikuwa Merib-baali.+ Merib-baali naye akamzaa Mika.+ 35 Na wana wa Mika walikuwa Pithoni na Meleki na Tarea+ na Ahazi. 36 Ahazi naye akamzaa Yehoada; naye Yehoada akazaa Alemethi na Azmavethi na Zimri. Naye Zimri akamzaa Mosa; 37 Naye Mosa akamzaa Binea, Rafa+ mwana wake, Eleasa mwana wake, Aseli mwana wake. 38 Na Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo yaliyokuwa majina yao: Azrikamu, Bokeru na Ishmaeli na Shearia na Obadia na Hanani. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Aseli. 39 Na wana wa Esheki ndugu yake walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili na Elifeleti wa tatu. 40 Na wana wa Ulamu wakawa mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, wanaopinda upinde,+ walio na wana wengi+ na wajukuu, watu 150. Hao wote walitoka katika wana wa Benyamini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki