Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 7:1

Marejeo

  • +Hes 26:23
  • +Mwa 46:13
  • +Hes 26:24

1 Mambo ya Nyakati 7:2

Marejeo

  • +2Sa 24:1; 1Nya 21:5

1 Mambo ya Nyakati 7:4

Marejeo

  • +1Nya 12:32

1 Mambo ya Nyakati 7:5

Marejeo

  • +Mhu 9:11
  • +Hes 26:25

1 Mambo ya Nyakati 7:6

Marejeo

  • +Mwa 35:18; 49:27; Hes 26:41
  • +Hes 26:38; 1Nya 8:1
  • +Mwa 46:21
  • +1Nya 7:10

1 Mambo ya Nyakati 7:7

Marejeo

  • +Hes 26:38; 1Nya 8:1
  • +1Nya 21:2

1 Mambo ya Nyakati 7:9

Marejeo

  • +1Nya 21:2

1 Mambo ya Nyakati 7:10

Marejeo

  • +1Nya 7:6

1 Mambo ya Nyakati 7:11

Marejeo

  • +Zb 33:16

1 Mambo ya Nyakati 7:12

Marejeo

  • +Mwa 46:21; Hes 26:39; 1Nya 8:5
  • +Mwa 46:21; Hes 26:39; 1Nya 8:5
  • +1Nya 7:7

1 Mambo ya Nyakati 7:13

Marejeo

  • +Mwa 30:8; 49:21
  • +Mwa 46:24
  • +Hes 26:48
  • +Hes 26:49
  • +Mwa 30:3; 35:22; 46:25

1 Mambo ya Nyakati 7:14

Marejeo

  • +Mwa 41:51
  • +Mwa 50:23; Hes 26:29; 27:1; Kum 3:15

1 Mambo ya Nyakati 7:15

Marejeo

  • +Hes 26:33
  • +Hes 27:7; 36:2

1 Mambo ya Nyakati 7:18

Marejeo

  • +Hes 26:30; Amu 6:11; 8:2

1 Mambo ya Nyakati 7:20

Marejeo

  • +Hes 1:33; Kum 33:17; Zb 60:7
  • +Hes 26:35

1 Mambo ya Nyakati 7:21

Marejeo

  • +1Sa 5:8; 7:14; 17:4

1 Mambo ya Nyakati 7:22

Marejeo

  • +Mwa 37:34

1 Mambo ya Nyakati 7:23

Marejeo

  • +Zb 128:3
  • +1Nya 4:10

1 Mambo ya Nyakati 7:24

Marejeo

  • +Yos 10:10; 21:22
  • +Yos 16:3
  • +Yos 16:5; 2Nya 8:5

1 Mambo ya Nyakati 7:27

Marejeo

  • +Kut 33:11; Yos 1:1
  • +Hes 11:28; 14:6; 32:12; Kum 34:9

1 Mambo ya Nyakati 7:28

Marejeo

  • +Mwa 28:19; Yos 16:2
  • +Yos 16:7
  • +Yos 16:3
  • +Yos 17:7

1 Mambo ya Nyakati 7:29

Marejeo

  • +Yos 17:11; 1Sa 31:10
  • +Amu 5:19; 1Fa 4:12
  • +Amu 1:27; 1Fa 9:15; 2Fa 23:29; Zek 12:11
  • +Yos 12:23; 1Fa 4:11
  • +Amu 1:22

1 Mambo ya Nyakati 7:30

Marejeo

  • +Mwa 49:20; Kum 33:24
  • +Hes 26:44
  • +Mwa 46:17
  • +Hes 26:45

1 Mambo ya Nyakati 7:40

Marejeo

  • +Kum 1:15; 1Fa 8:1
  • +1Sa 16:18; 2Sa 23:20
  • +Kut 30:14
  • +Hes 1:41; 2:28; 26:47

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 7:1Hes 26:23
1 Nya. 7:1Mwa 46:13
1 Nya. 7:1Hes 26:24
1 Nya. 7:22Sa 24:1; 1Nya 21:5
1 Nya. 7:41Nya 12:32
1 Nya. 7:5Mhu 9:11
1 Nya. 7:5Hes 26:25
1 Nya. 7:6Mwa 35:18; 49:27; Hes 26:41
1 Nya. 7:6Hes 26:38; 1Nya 8:1
1 Nya. 7:6Mwa 46:21
1 Nya. 7:61Nya 7:10
1 Nya. 7:7Hes 26:38; 1Nya 8:1
1 Nya. 7:71Nya 21:2
1 Nya. 7:91Nya 21:2
1 Nya. 7:101Nya 7:6
1 Nya. 7:11Zb 33:16
1 Nya. 7:12Mwa 46:21; Hes 26:39; 1Nya 8:5
1 Nya. 7:12Mwa 46:21; Hes 26:39; 1Nya 8:5
1 Nya. 7:121Nya 7:7
1 Nya. 7:13Mwa 30:8; 49:21
1 Nya. 7:13Mwa 46:24
1 Nya. 7:13Hes 26:48
1 Nya. 7:13Hes 26:49
1 Nya. 7:13Mwa 30:3; 35:22; 46:25
1 Nya. 7:14Mwa 41:51
1 Nya. 7:14Mwa 50:23; Hes 26:29; 27:1; Kum 3:15
1 Nya. 7:15Hes 26:33
1 Nya. 7:15Hes 27:7; 36:2
1 Nya. 7:18Hes 26:30; Amu 6:11; 8:2
1 Nya. 7:20Hes 1:33; Kum 33:17; Zb 60:7
1 Nya. 7:20Hes 26:35
1 Nya. 7:211Sa 5:8; 7:14; 17:4
1 Nya. 7:22Mwa 37:34
1 Nya. 7:23Zb 128:3
1 Nya. 7:231Nya 4:10
1 Nya. 7:24Yos 10:10; 21:22
1 Nya. 7:24Yos 16:3
1 Nya. 7:24Yos 16:5; 2Nya 8:5
1 Nya. 7:27Kut 33:11; Yos 1:1
1 Nya. 7:27Hes 11:28; 14:6; 32:12; Kum 34:9
1 Nya. 7:28Mwa 28:19; Yos 16:2
1 Nya. 7:28Yos 16:7
1 Nya. 7:28Yos 16:3
1 Nya. 7:28Yos 17:7
1 Nya. 7:29Yos 17:11; 1Sa 31:10
1 Nya. 7:29Amu 5:19; 1Fa 4:12
1 Nya. 7:29Amu 1:27; 1Fa 9:15; 2Fa 23:29; Zek 12:11
1 Nya. 7:29Yos 12:23; 1Fa 4:11
1 Nya. 7:29Amu 1:22
1 Nya. 7:30Mwa 49:20; Kum 33:24
1 Nya. 7:30Hes 26:44
1 Nya. 7:30Mwa 46:17
1 Nya. 7:30Hes 26:45
1 Nya. 7:40Kum 1:15; 1Fa 8:1
1 Nya. 7:401Sa 16:18; 2Sa 23:20
1 Nya. 7:40Kut 30:14
1 Nya. 7:40Hes 1:41; 2:28; 26:47
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 7:1-40

1 Mambo ya Nyakati

7 Basi wana wa Isakari walikuwa Tola+ na Pua,+ Yashubu na Shimroni,+ wanne. 2 Na wana wa Tola walikuwa Uzi na Refaya na Yerieli na Yahmai na Ibsamu na Shemueli, vichwa vya nyumba ya mababu zao. Kwa Tola kulikuwa na mashujaa, wanaume wenye nguvu, kulingana na wazao wao. Hesabu yao katika siku za Daudi+ ilikuwa 22,600. 3 Na wana wa Uzi walikuwa Izrahia; na wana wa Izrahia walikuwa Mikaeli na Obadia na Yoeli, Ishia, , watano, wote wakiwa ni vichwa. 4 Na pamoja nao kwa wazao wao, kulingana na nyumba ya mababu zao, kulikuwa na vikosi vya jeshi vya vita, 36,000, kwa kuwa walikuwa na wake wengi na wana.+ 5 Na ndugu zao wa familia zote za Isakari walikuwa mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, 87,000 kulingana na maandikisho yao yote ya kiukoo.+

6 Wana wa Benyamini+ walikuwa Bela+ na Bekeri+ na Yediaeli,+ watatu. 7 Na wana wa Bela+ walikuwa Esboni na Uzi na Uzieli na Yerimothi na Iri, watano, vichwa vya nyumba ya mababu zao, mashujaa, wanaume wenye nguvu; na maandikisho yao ya kiukoo+ yalikuwa 22,034. 8 Na wana wa Bekeri walikuwa Zemira na Yoashi na Eliezeri na Elioenai na Omri na Yeremothi na Abiya na Anathothi na Alemethi, wote hao walikuwa wana wa Bekeri. 9 Na maandikisho yao ya kiukoo+ kulingana na wazao wao kuhusiana na vichwa vya nyumba ya mababu zao, mashujaa, wanaume wenye nguvu, yalikuwa 20,200. 10 Na wana wa Yediaeli+ walikuwa Bilhani; na wana wa Bilhani walikuwa Yeushi na Benyamini na Ehudi na Kenaana na Zethani na Tarshishi na Ahishahari. 11 Hao wote ndio waliokuwa wana wa Yediaeli, kulingana na vichwa vya mababu zao, mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, 17,200 wanaoingia katika jeshi kwa vita.

12 Na Shupimu+ na Hupimu+ walikuwa wana wa Ire;+ na Hushimu, wana wa Aheri.

13 Wana wa Naftali+ walikuwa Yahzieli+ na Guni+ na Yezeri na Shalumu,+ wana wa Bilha.+

14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi. 15 Naye Makiri akachukua mke kwa ajili ya Hupimu na kwa ajili ya Shupimu, na jina la dada yake lilikuwa Maaka.) Na jina la wa pili lilikuwa Selofehadi,+ lakini Selofehadi alikuwa na mabinti.+ 16 Baada ya muda Maaka, mke wa Makiri, akazaa mwana, akamwita jina lake Pereshi; na jina la ndugu yake lilikuwa Shereshi; na wanawe walikuwa Ulamu na Rekemu. 17 Na wana wa Ulamu walikuwa Bedani. Hao ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase. 18 Na dada yake alikuwa Hamolekethi. Aliwazaa Ishodi na Abiezeri+ na Mala. 19 Na wana wa Shemida walikuwa Ahiani na Shekemu na Likhi na Aniamu.

20 Na wana wa Efraimu+ walikuwa Shuthela+ na Beredi mwana wake na Tahathi mwana wake na Eleada mwana wake na Tahathi mwana wake, 21 na Zabadi mwana wake na Shuthela mwana wake na Ezeri na Eleadi. Na watu wa Gathi+ waliozaliwa katika nchi wakawaua kwa sababu waliteremka kuja kuchukua mifugo yao. 22 Na Efraimu baba yao akaomboleza siku nyingi,+ na ndugu zake wakawa wakija kumfariji. 23 Baadaye akalala na mke wake, naye akapata mimba,+ akazaa mwana. Lakini akamwita jina lake Beria, kwa sababu mwanamke huyo alikuwa katika nyumba yake kukiwa na msiba.+ 24 Na binti yake alikuwa Sheera, naye akajenga Beth-horoni,+ ya chini+ na ya juu,+ na Uzen-sheera. 25 Na kulikuwa na Refa mwana wake, na Reshefu, na Tela mwana wake, na Tahani mwana wake, 26 Ladani mwana wake, Amihudi mwana wake, Elishama mwana wake, 27 Nuni+ mwana wake, Yehoshua+ mwana wake.

28 Na miliki yao na makao yao yalikuwa Betheli+ na miji yake ya kandokando na, upande wa mashariki, Naarani+ na, upande wa magharibi, Gezeri+ na miji yake ya kandokando, na Shekemu+ na miji yake ya kandokando mpaka Gaza na miji yake ya kandokando; 29 na kando ya wana wa Manase, Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando, Taanaki+ na miji yake ya kandokando, Megido+ na miji yake ya kandokando, Dori+ na miji yake ya kandokando. Wana wa Yosefu+ mwana wa Israeli walikaa humo.

30 Wana wa Asheri+ walikuwa Imna+ na Ishva na Ishvi+ na Beria;+ na Sera alikuwa dada yao. 31 Na wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba ya Birzaithi. 32 Heberi naye akazaa Yafleti na Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao. 33 Na wana wa Yafleti walikuwa Pasaki na Bimhali na Ashvathi. Hao ndio waliokuwa wana wa Yafleti. 34 Na wana wa Shemeri walikuwa Ahi na Roga, Yehuba na Aramu. 35 Na wana wa Helemu ndugu yake walikuwa Sofa na Imna na Sheleshi na Amali. 36 Wana wa Sofa walikuwa Sua na Harneferi na Shuali na Beri na Imra, 37 Beseri na Hodi na Shama na Shilsha na Ithrani na Beera. 38 Na wana wa Yetheri walikuwa Yefune na Pispa na Ara. 39 Na wana wa Ula walikuwa Ara na Hanieli na Risia. 40 Hao wote ndio waliokuwa wana wa Asheri, vichwa+ vya nyumba ya mababu, mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, waliochaguliwa, vichwa vya wakuu; na maandikisho yao ya kiukoo+ yalikuwa katika jeshi kwa ajili ya vita. Hesabu yao ilikuwa watu 26,000.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki