Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+ Yoshua 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikatoka Betheli, iliyokuwa ya Luzi+ na kwenda hadi kwenye mpaka wa Waarki+ huko Atarothi,
19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+