1 Mambo ya Nyakati 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baadaye akalala na mke wake, naye akapata mimba na kuzaa mwana. Lakini akamwita mwana huyo Beria* kwa sababu mama yake alikuwa katika nyumba ya Efraimu wakati wa msiba.
23 Baadaye akalala na mke wake, naye akapata mimba na kuzaa mwana. Lakini akamwita mwana huyo Beria* kwa sababu mama yake alikuwa katika nyumba ya Efraimu wakati wa msiba.