Hesabu 26:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi: Wa Yezeri+ familia ya Wayezeri; wa Heleki familia ya Waheleki; Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani. Waamuzi 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwishowe akawaambia: “Basi mimi nimefanya nini kwa kulinganishwa nanyi?+ Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko ukusanyaji wa zabibu wa Abiezeri?+
30 Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi: Wa Yezeri+ familia ya Wayezeri; wa Heleki familia ya Waheleki;
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
2 Mwishowe akawaambia: “Basi mimi nimefanya nini kwa kulinganishwa nanyi?+ Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko ukusanyaji wa zabibu wa Abiezeri?+