Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani. Waamuzi 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata.
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
34 Na roho ya Yehova+ ikamfunika Gideoni naye akaanza kupiga baragumu,+ na Waabiezeri+ wakakusanywa pamoja kumfuata.