Yoshua 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+ 2 Mambo ya Nyakati 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akajenga Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyo na kuta,+ milango na mapingo,+
5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+
5 Naye akajenga Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyo na kuta,+ milango na mapingo,+