Yoshua 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+ 1 Mambo ya Nyakati 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na binti yake alikuwa Sheera, naye akajenga Beth-horoni,+ ya chini+ na ya juu,+ na Uzen-sheera.
5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+