Yoshua 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+ Yoshua 21:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na Kibsaimu+ na kiwanja chake cha malisho, na Beth-horoni+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne.
10 Yehova naye akawavuruga mbele ya Israeli,+ nao wakaanza kuwaua kwa mauaji makuu katika Gibeoni,+ wakawafuatilia kwa njia ya mpando wa Beth-horoni, wakawaua mpaka Azeka+ na Makeda.+
22 na Kibsaimu+ na kiwanja chake cha malisho, na Beth-horoni+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne.