3 nayo ikashuka kwenda magharibi hadi kwenye mpaka wa Wayafleti hadi kwenye mpaka wa Beth-horoni+ ya Chini na Gezeri,+ na mwisho wake ukawa kwenye bahari.+
13 Kisha mpaka huo ukaendelea kutoka hapo hadi Luzi,+ kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ na mpaka huo ukashuka hadi Ataroth-adari+ juu ya mlima ulioko upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+