Yoshua 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha ukaendelea mpaka Luzi kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ nao ukashuka hadi Ataroth-adari+ kwenye mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+
13 Kisha ukaendelea mpaka Luzi kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ nao ukashuka hadi Ataroth-adari+ kwenye mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+