Yoshua 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha mpaka huo ukaendelea kutoka hapo hadi Luzi,+ kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ na mpaka huo ukashuka hadi Ataroth-adari+ juu ya mlima ulioko upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+ 1 Mambo ya Nyakati 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na binti yake alikuwa Sheera, naye akajenga Beth-horoni,+ ya chini+ na ya juu,+ na Uzen-sheera.
13 Kisha mpaka huo ukaendelea kutoka hapo hadi Luzi,+ kwenye mteremko wa kusini wa Luzi, yaani, Betheli;+ na mpaka huo ukashuka hadi Ataroth-adari+ juu ya mlima ulioko upande wa kusini wa Beth-horoni ya Chini.+