Kutoka 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema. Yoshua 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa:
11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema.
1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa: