Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mmoja wa watumishi akajibu na kusema: “Tazama! Nimeona jinsi mwana fulani wa Yese Mbethlehemu alivyo mwenye ustadi wa kukipiga,+ naye ni shujaa,+ mwanamume mwenye nguvu,+ na mwanamume wa vita na msemaji mwenye akili+ na mwanamume mwenye umbo zuri,+ na Yehova yupo pamoja naye.”+

  • 2 Samweli 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mwana wa mwanamume shujaa, aliyefanya matendo mengi katika Kabzeeli,+ yeye mwenyewe alipiga na kuwaua wale wana wawili wa Arieli wa Moabu; naye alishuka, akapiga na kumuua simba+ ndani ya shimo la maji katika siku ya kuanguka kwa theluji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki