Mwanzo 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+ Mwanzo 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+ Hesabu 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Hao ndio waliokuwa wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, nao walioandikishwa kati yao walikuwa 45,600.+
18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+
27 “Benyamini ataendelea kurarua kama mbwa-mwitu.+ Asubuhi atakula mnyama aliyekamatwa na jioni atagawanya nyara.”+
41 Hao ndio waliokuwa wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, nao walioandikishwa kati yao walikuwa 45,600.+