Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+

  • Hesabu 26:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.

  • Hesabu 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo binti za Selofehadi+ mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase,+ wa familia za Manase mwana wa Yosefu, wakaja karibu. Na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya binti zake: Mala, Noa na Hogla na Milka na Tirsa.+

  • Kumbukumbu la Torati 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na Makiri+ nimempa Gileadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki