Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+ Hesabu 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi. Hesabu 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo binti za Selofehadi+ mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase,+ wa familia za Manase mwana wa Yosefu, wakaja karibu. Na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya binti zake: Mala, Noa na Hogla na Milka na Tirsa.+ Kumbukumbu la Torati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Makiri+ nimempa Gileadi.+
23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+
29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.
27 Ndipo binti za Selofehadi+ mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase,+ wa familia za Manase mwana wa Yosefu, wakaja karibu. Na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya binti zake: Mala, Noa na Hogla na Milka na Tirsa.+