Yoshua 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake. 1 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.
17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.
14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.