51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+
17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+