Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+

  • Mwanzo 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yosefu akamwambia baba yake: “Sivyo, baba yangu, kwa sababu huyu ndiye mzaliwa wa kwanza.+ Uweke mkono wako wa kuume juu ya kichwa chake.”

  • Kumbukumbu la Torati 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki