16 ili kwamba yeyote anayejibariki duniani atajibariki kwa Mungu wa imani,+ na yeyote anayetoa ahadi yenye kiapo duniani ataapa kwa Mungu wa imani;+ kwa sababu taabu za zamani kwa kweli zitasahauliwa na kwa sababu kwa kweli zitafichwa kutoka machoni pangu.+
4 Naye atafuta kila chozi+ kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena,+ wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.+ Mambo ya zamani yamepitilia mbali.”+