19 Nami nitashangilia katika Yerusalemu na kufurahi katika watu wangu;+ na ndani yake haitasikika tena sauti ya kulia wala sauti ya kilio cha huzuni.”+
17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga,+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji+ ya uzima. Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+