Mathayo 25:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na mataifa yote yatakusanyika mbele yake,+ naye atawatenganisha watu,+ mmoja kutoka kwa mwenzake,+ kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi. Yohana 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ndiye mchungaji+ mwema; mchungaji mwema huitoa nafsi yake kwa ajili ya kondoo.+
32 Na mataifa yote yatakusanyika mbele yake,+ naye atawatenganisha watu,+ mmoja kutoka kwa mwenzake,+ kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.