Hesabu 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi. 1 Mambo ya Nyakati 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baadaye Geshuri+ na Siria+ wakachukua Hawoth-yairi+ kutoka kwao, na Kenathi+ na miji yake ya kandokando, majiji 60. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Makiri baba ya Gileadi. 1 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.
29 Wana wa Manase+ walikuwa: Wa Makiri+ familia ya Wamakiri. Naye Makiri akamzaa Gileadi.+ Wa Gileadi familia ya Wagileadi.
23 Baadaye Geshuri+ na Siria+ wakachukua Hawoth-yairi+ kutoka kwao, na Kenathi+ na miji yake ya kandokando, majiji 60. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Makiri baba ya Gileadi.
14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.