Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+ Hesabu 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao vichwa vya upande wa baba vya familia ya wana wa Gileadi mwana wa Makiri+ mwana wa Manase wa familia za wana wa Yosefu wakakaribia na kusema mbele ya Musa na wakuu, vichwa vya upande wa baba vya wana wa Israeli, Kumbukumbu la Torati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Makiri+ nimempa Gileadi.+ 1 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.
23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+
36 Nao vichwa vya upande wa baba vya familia ya wana wa Gileadi mwana wa Makiri+ mwana wa Manase wa familia za wana wa Yosefu wakakaribia na kusema mbele ya Musa na wakuu, vichwa vya upande wa baba vya wana wa Israeli,
14 Wana wa Manase+ walikuwa Asrieli, ambaye suria wake, Msiria, alizaa. (Mwanamke huyo alimzaa Makiri+ baba ya Gileadi.