Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+ Yoshua 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.
23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+
17 Na kura+ ikawa kwa ajili ya kabila la Manase,+ kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ kwa ajili ya Makiri+ mzaliwa wa kwanza wa Manase, baba ya Gileadi,+ kwa sababu alikuwa mtu wa vita;+ na Gileadi+ na Bashani zikawa zake.