Yoshua 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na wana, ila mabinti, na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya hao mabinti zake: Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+
3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na wana, ila mabinti, na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya hao mabinti zake: Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+