Hesabu 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sasa Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na wana, bali binti,+ na majina ya binti za Selofehadi yalikuwa Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+ Hesabu 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+
33 Sasa Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na wana, bali binti,+ na majina ya binti za Selofehadi yalikuwa Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+
2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+