2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+
3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na wana, ila mabinti, na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya hao mabinti zake: Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+
15 Naye Makiri akachukua mke kwa ajili ya Hupimu na kwa ajili ya Shupimu, na jina la dada yake lilikuwa Maaka.) Na jina la wa pili lilikuwa Selofehadi,+ lakini Selofehadi alikuwa na mabinti.+