Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Binti za Selofehadi wanasema jambo lililo sawa. Wape miliki ya urithi katikati ya ndugu za baba yao, nawe utaupitisha urithi wa baba yao kwao.+

  • Hesabu 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kusema: “Yehova alimwamuru bwana wangu awape wana wa Israeli nchi iwe urithi kwa kura;+ naye bwana wangu aliamriwa na Yehova kwamba urithi wa Selofehadi ndugu yetu awape binti zake.+

  • Yoshua 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na wana, ila mabinti, na haya ndiyo yaliyokuwa majina ya hao mabinti zake: Mala na Noa, Hogla, Milka na Tirsa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Makiri akachukua mke kwa ajili ya Hupimu na kwa ajili ya Shupimu, na jina la dada yake lilikuwa Maaka.) Na jina la wa pili lilikuwa Selofehadi,+ lakini Selofehadi alikuwa na mabinti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki