Hesabu 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakawaambia: “Yehova alimwamuru bwana wetu awagawie Waisraeli nchi kwa kura+ ili wairithi; na bwana wetu aliamriwa na Yehova achukue urithi wa Selofehadi ndugu yetu na kuwapa binti zake.+
2 Wakawaambia: “Yehova alimwamuru bwana wetu awagawie Waisraeli nchi kwa kura+ ili wairithi; na bwana wetu aliamriwa na Yehova achukue urithi wa Selofehadi ndugu yetu na kuwapa binti zake.+