Yoshua 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na watoto wa kiume ila mabinti, na majina ya mabinti hao yalikuwa: Mala, Noa, Hogla, Milka, na Tirsa. Yoshua Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 17:3 w07 11/15 12-13 Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:3 Mnara wa Mlinzi,11/15/2007, kur. 12-13
3 Lakini Selofehadi+ mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, hakuwa na watoto wa kiume ila mabinti, na majina ya mabinti hao yalikuwa: Mala, Noa, Hogla, Milka, na Tirsa.