Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakawatuma watu wawakusanye kwao wakuu wote wa muungano wa Wafilisti, wakasema: “Tutalifanyia nini sanduku la Mungu wa Israeli?” Mwishowe wakasema: “Acheni sanduku la Mungu wa Israeli lizunguke kwenda Gathi.”+ Basi wakalibeba sanduku la Mungu wa Israeli kwa kuzunguka mpaka huko.

  • 1 Samweli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na yale majiji ambayo Wafilisti walikuwa wameyachukua kutoka kwa Israeli yakaendelea kurudi kwa Israeli kutoka Ekroni mpaka Gathi, na Israeli wakayakomboa maeneo ya majiji hayo kutoka mkono wa Wafilisti.

      Na kukawa na amani kati ya Israeli na Waamori.+

  • 1 Samweli 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na bingwa fulani akatoka katika kambi za Wafilisti, na jina lake lilikuwa Goliathi,+ kutoka Gathi,+ urefu wake ulikuwa mikono sita na shubiri moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki