1 Samweli 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Pia, majiji ambayo Wafilisti walikuwa wamechukua kutoka kwa Waisraeli yalirudishwa kwa Waisraeli, kuanzia Ekroni mpaka Gathi, na Waisraeli wakayakomboa maeneo yao kutoka mikononi mwa Wafilisti. Pia kukawa na amani kati ya Waisraeli na Waamori.+
14 Pia, majiji ambayo Wafilisti walikuwa wamechukua kutoka kwa Waisraeli yalirudishwa kwa Waisraeli, kuanzia Ekroni mpaka Gathi, na Waisraeli wakayakomboa maeneo yao kutoka mikononi mwa Wafilisti. Pia kukawa na amani kati ya Waisraeli na Waamori.+