Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Mwanzo 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Waamori, Wakanaani, Wagirgashi, na Wayebusi.”+
18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+